Kampuni za mabasi zatakiwa kuwa na madereva wawili kwa safari moja
Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani nchini Tanzania, Wilbroad Mutafungwa leo Ijumaa Januari 29, 2021 amezitaka kampuni za mabasi nchini kuweka madereva wawili katika safari za umbali mrefu.